Social Icons

Tuesday, June 20, 2017

TIGO YAFUTURISISHA WATOTO YATIMA MKOA WA MBEYA


Mwanafunzi wa darasa la nne wa  Islamic Yatima Foundation Fadhira  Hamidu, akipokea msaada wa chakula kwa niaba ya wengine,  kutoka kwa Meneja Mauzo Mkoa wa Mwanza  wa Kampuni ya Tigo Kassim Aziz Kassim, wakati wa hafla ya makabidhiano eneo la Ilemela jijini Mwanza juzi.Msaada wa Sh 3.5 Milion ulipokelewa
 Mwanafunzi wa darasa la saba wa  Islamic Yatima Foundation Zahor Hamoud, akipokea msaada wa chakula kwa niaba ya wengine, kutoka kwa Meneja Mauzo Mkoa wa Mwanza  wa Kampuni ya Tigo Kassim Aziz Kassim, wakati wa hafla ya makabidhiano eneo la Ilemela jijini Mwanza juzi.Msaada wa Sh 3.5 Milion ulipokelewa


Wanafunzi wa Islamic Yatima Foundation, wakipata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo eneo la Ilemela jijini Mwanza juzi.



Wanafunzi wa Islamic Yatima Foundation, wakipata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo eneo la Ilemela jijini Mwanza juzi.

Meneja wa  Kampuni ya Tigo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Ladislaus  Karlo (kushoto) akimkabidhi sehemu ya zawadi kutoka kampuni hiyo kwa Mhasibu wa Kituo cha Kulelea watoto yatima Cha Nuru, kilicho Uyole Jijini Mbeya,Semu Mwansasu, (kulia) kabla ya wafanyakazi wa Tigo Mbeya kushiriki pamoja na watoto hao kwenye futari iliyoandaliwa na Tigo ofisi ya Mbeya.


Meneja wa  Kampuni ya Tigo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Ladislaus  Karlo  akikabidhi sehemu ya zawadi kutoka kampuni hiyo kwa Kituo cha Kulelea watoto yatima Cha Nuru, kilicho Uyole Jijini Mbeya,Semu Mwansasu, (kulia) kabla ya wafanyakazi wa Tigo Mbeya kushiriki pamoja na watoto hao kwenye futari iliyoandaliwa na Tigo ofisi ya Mbeya.

No comments:

Post a Comment