Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Halmashauri ya
Tukuyu, Ezekiel Manyemele, wakifunua kitambaa kuzindua Jengo la Choo cha
wanawake katika Hospitali ya Makandana Wilayani Rungwe, jana Sept 20,
2017. Jengo hilo la Choo limegharimu zaidi ya Sh. milioni 50. Picha na
Muhidin Sufiani.
Mkurugenzi
wa Taasisi ya Tulia Trust na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, Mwenyekiti wa Halmashauri ya
Tukuyu, Ezekiel Manyemele, wakifunua kitambaa kuzindua Jengo la Choo cha
wanawake katika Hospitali ya Makandana Wilayani Rungwe, jana Sept 20,
2017. Jengo hilo la Choo limegharimu zaidi ya Sh. milioni 50. Picha na
Muhidin Sufiani.
No comments:
Post a Comment