Social Icons

Monday, January 22, 2018

WAZIRI MKUCHIKA AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA TPSC TAWI LA MBEYA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati) akipatiwa maelezo juu maendeleo ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya kutoka kwa Mkurugenzi wa tawi hilo Dkt. Heriel Nguvava ,kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Paul Ntinika.Waziri alitembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC.TPSC ina matawi sita.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa tawi la Mbeya wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt Heriel Nguvava (kulia) wakati Waziri alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita, kushoto ni Mkuu wa TPSC Dkt. Henry Mambo 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika kulia akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa tawi la Mbeya wa Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt Heriel Nguvava wakati Waziri huyo alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita 
Mfanyakazi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya Nuhuman Iddy akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika wakati Waziri huyo alipotembelea tawi hilo mwishoni mwa wiki ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kuyatembelea matawi ya TPSC, TPSC ina matawi sita 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati aliyekaa mbele) akiwa kwenye picha ya pamoja na uongozi wa cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) tawi la Mbeya, kulia kwake ni Mkuu wa TPSC Dkt. Henry Mambo , wengine ni viongozi waandamizi wa mkoa wa Mbeya

No comments:

Post a Comment