Social Icons

Monday, February 13, 2017

RC MAKALLA AKAGUWA BARABARA ZA JIJILA MBEYA NA KUKAGUWA MAZINGIRA YA JIJI LA MBEYA...

 Mkuu wa mkoa wa mbeya Mh.Amos Makalla akiwa ameongozana na baadhi ya maafisa usafilishaji wa eneo la kabwe pamoja na wananchi wa jiji la Mbeya kuelekea katika maeneo yaliyo tengwa kuajikli ya kutengeneza Bustani jijini Mbeya.
  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla kulia sanjari na mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini Mh.Sugu katika mazungumzo ya kuweka Mazingira ya jiji la Mbeya kuwa safii..
CHANZO MTAA KWA MTAA BLOG

No comments:

Post a Comment