Mkuu
wa mkoa wa mbeya Mh.Amos Makalla akiwa ameongozana na baadhi ya maafisa
usafilishaji wa eneo la kabwe pamoja na wananchi wa jiji la Mbeya
kuelekea katika maeneo yaliyo tengwa kuajikli ya kutengeneza Bustani
jijini Mbeya.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Amos Makalla kulia sanjari na mbunge wa jimbo
la Mbeya Mjini Mh.Sugu katika mazungumzo ya kuweka Mazingira ya jiji la
Mbeya kuwa safii..
No comments:
Post a Comment